Pages

Saturday, June 20, 2015

MAHARAGE YAZUA KIZAA ZAA



Wanafunzi wa chuo kikuu cha Tumaini wameulalamikia uongozi wa mgahawa wa chuo (Canteen)  kwa kuandaaa chakula kisichokua sawa

Mmoja wa wanafunzi ambaae ni Rosemary Ndonde aliongea na mwandishi wa blogi hii alisema,  “chakula cha leo kimekuakidogo na dosari tofauti na siku nyingine hasa kwa upande wa maharage, kwani yamekua na  ladha ambayo si zuri sana, kwani yapo kama yameunngua.”

Hata hivyo, msemaji wa mgahawa huo ambae hakutaka jina lake litajwe amesema chakula kipo vizuri kwani kabla ya chakula kuanza kuuzwa huwa nakikagua na kama kina dosari huwa nawaambia.”


Hata hivyo msemaji huyo aliongeza kuwa watakua wanajitahidi kila siku kuhakikisha chakula kinakua kizuri kama hapo awali na kila mmoja atafurahia na kuridhika na huduma anayopata.


chakuala ambacho mmoja wa wateja ameshindwa kula

No comments:

Post a Comment