Pages

Wednesday, August 12, 2015

THAMANI YA PESA YA CHINA YA SHUKA




Pesa ya China YUAN

Benki kuu ya China imepunguza tena Bei elekezi kwa Fedha ya taifa hilo baada ya sarafu ya nchi hiyo kushuka tena thamani  kwa mara pili mfululizo ndani ya wiki hii.
Mpango wa kupandisha sarafu ya Nchi hiyo umeanza kwa masoko ya Asia na Benki kuu ya Nchina ina imani kuwa thamani ya sarafu yao itazidi kuimarika wizara ya Biashara ya China inasema ili kukuza thamani ya sarafu yao lazima mauzo ya nje yaimarike.
Takwimu zinaonyesha mauzo ya China nje ya nchi yalianguka kwa asilimia 8 na hivyo kuweka kiashirio cha kuporomoka kwa uchumi wa Nchi hiyo.  
Hii ni kwa mara ya kwanza kwa sarafu ya China Yean kushuka thamani dhidi ya Dola ya Marekani kwa miongo miwili sasa.

No comments:

Post a Comment