Pages

Friday, June 19, 2015

VIONGOZI WAPYA WA TUDARCO SPEAKERS BUREAU





 TUDARCO’S  Speakers bureau imepata viongozi wake wapya ambao wamechaguliwa leo tarehe 19 mwezi wa sita 2015 majira ya saa 10:00 jioni katika chumba namba 801  ndani ya jingo jipya la kisasa.
 
TUDARCO SPEAKERS BUREAU, ni taasisi huru isiyofungamana na upande wowote wa kidini wala wa kisiasa, malengo yake makuu ni kufanya midahalo pamoja na kuandaa mihadhara mbalimbali ambayo itakua na manufaa kwa wanafunzi,na  kuwajengea wanafunzi kujiamini na kuongea mawazo yao mbele ya umati mkubwa wa watu ndani na nje ya chuo.

Viongozi hao wapya ni pamoja na Meshack King’ani ambae ni Mwenyekiti na makamu wake ni Mapinduzi Kiongore. Pia kuna nafasi ya katibu ambayo imechukuliwa na Mahenge Majige na makamu wake ni Itanisa Asela  na kuna nafasi ya muhasibu ambayo imecukuliwa na Hajra Khatibu na msaidizi wake ni Nasibu Mahinya.



Viongozi hao wapya  wameahidi kutekeleza maukumui hayo waliyopewa kwa khali na mali ili kuhakikisha malengo tarajiwa yanafikiwa, pia wakasema watajitahidi kuhakikisha idadi wa wanachama inaongezeka.








Kutoka kulia ni  Majige Mahenge (katibu mkuu), Hajra )Khatibu (muhasibu), Meshaki King'ani (Mwenyekitim Mapinduzi Kiongore (Mwenyekiti Msaidizi na Nasibu Mahinya



1 comment: