Pages

Tuesday, June 30, 2015

NAMBA ZA MITIHANI ZIPO TAYARI

Ofisi ya Mhasibu wa Chuo imetoa Tangazo kuwa tayari namba za mitihani zinaweza kupatikana kupitia Account za wanafunzi TUSARIS.

Zingatia namba itapatikana kama utakuwa umemaliza kulipa ada yako na malipo ya TCU pamoja na fedha ya serikali ya wanafunzi kama alivyo elekeza mhasibu katika moja ya habari tulizo zichapisha kupitia blogu hii.

"Ada ya mwaka wa kwanza ni Tshs 2,405,000, mwaka wa pili Tshs 2,330,000 na mwaka wa tatu Tshs 2,365,000. Pamoja na ada wanafunzi wote wanatakiwa wawe wamelipa hela ya TCU Tshs 20,000 na TUSO Tshs 25,000"

No comments:

Post a Comment