Pages

Sunday, June 28, 2015

TANGAZO! TANGAZO! TANGAZO! TANGAZO!

Serikali ya wanafunzi , inapenda kukutaarifu kupitia Wizara yake ya utawala bora kuwa, kila darasa litatakiwa kufanya uchaguzi wa wawakilishi wa darasa Class representatives (CR), Uchaguzi huu utafanyika tarehe 30/06/2015 , siku ya Jumanne katika siku husika viongozi waliopewa mamlaka watapita kusimamia uchaguzi huo ili uwe wa huru na haki .. Tunaomba ushirikiano wako.

                              "WE ARE SERVANTS OF YOUR VOICE"
Limetolewa na Wizara ya Utawala Bora

2 comments:

  1. katika jambo hili mbona ,mpaka sasa hao CR mbona hawja chaguliwa au imekuwaje?

    ReplyDelete
  2. natamani sana kuwajua hao CRs maana natamani kufanya uongozi huu uwe wenye mafanikio.

    ReplyDelete