Pages

Saturday, October 24, 2015

SCHWEINSTEIGER KUFUNGUA KESI DHIDI YA KAMPUNI YA KUTENGENEZA MIDOLI

Schweinsteiger suing over Nazi doll lookalike
Kiungo wa klabu ya Manchester United kutoka Ujerumani, Bastian Schweinstweiger amepanga kuchukua hatua za kisheria kufuatia kufananishwa na mdoli ambaye ametengenezwa kama askari wa vita kuu ya pili ya dunia.
Schweini alikosoa mdoli huyo sio tu kwa kufanana sura bali hadi jina, mdoli huyo amepewa jina la Bastian.
 
  
 

 

No comments:

Post a Comment