Pages

Thursday, September 10, 2015

RONALDO AJA NA PERFUME ZAKE MWENYEWE

Cristiano Ronaldo launches first fragrance

Mchezaji Bora wa Dunia mara tatu kutoka Ureno, Cristiano Ronaldo ameendelea kujikita kwenye biashara zaidi baada ya kuzindua marashi yake yenye jina la CRISTIANO RONALDO LEGACY.
CR7 alisema amefurahia jambo hilo kwa kuwa ilikua ni ndoto yake toka utoto na hiyo itaacha alama kwa mashabiki wake siku zote hata baada ya maisha ya soka baadae.

"Nataka mashabiki wote na wapenzi wa Ronaldo wawe angalau na kitu kimoja kitakachowaweka karibu nami" alisema siku ya uzinduzi wa marashi hay huku picha zake mwenyewe zikitumika kwenye matangazo ya bidhaa hizo.




No comments:

Post a Comment