Pages

Sunday, July 5, 2015

BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI



Rais wa serikali ya wanafunzi Rashid Khalifa Said ameanza kazi yake rasmi juma hii mara tu baada ya kuapishwa na kuwa tayari kutumikia wanafunzi ambao wamemuamini na kumchagua.

Katika utekelezaji wamajukumu yake ameteua baraza la mawaziri ambao watakua nae sambamba katika kuhakikisha wanafunzi wanapata kile kitu ambacho walikuwa wakikisubiri kwa mda mrefu.
 Rais  na makamu wake bwana Steven Mjema wameteua baraza la mawaziri kama ifuatavyo;
01.    Waziri  Mkuu                                Mh. Luhunga   Ayubu
02.   Katibu  Mkuu                                Mh. Salama   Mohamed
03.   Waziri wa Mambo ya ndani            Mh. Kaijage  Tobaro
04.   Waziri wa Habari na Mawasiliano   Mh. Mapunda  Florid
05.   Waziri wa utawala bora                  Mh.  Jumanne   Paul
06.   Waziri wa Fedha                            Mh.  Ali herbet 
07.   Naibu waziri wa fedha                    Mh  Itanisa   Asela
08.   Waziri wa sheria na katiba              Mh. Terasis   Fred
09.   Waziri wa ustawi wa Jamii              Mh Boni Balthazar Sakurani
10.   Waziri wa elimu                              Mh Johana  Jane
11.   Waziri wa Mikopo                          Mh. George Seleman
12.   Waziri wa mambo ya nje                 Mh. John  Chuwa
13. Waziri wa Afya                              Mh. Selkita  Mshana

Hao ndio Mawaziri ambao amekwisha anza nao kazi na muda si mrefu atateua manaibu waziri ili kuweza kusaidiana na mawaziri husika. Serikali hii itadumu kwa muda wa mwaka mmoja mpaka mwakani mwezi kama huu kadiri ya katiba ya serikali ya wanafunzi inavyo elekeza.



 Raisi  Rashid Khalifa ( mwenye suti) akiwa na baadhi ya mawaziri

1 comment:

  1. Jifunzen kuandk story, msipokuw makin mtajidhallsh wenyew, niwap ushaur w bur tu, km kwel mko serious, mngekuw n mhariri wa kuzptia stories zen kabl y kuzipublis, mnajishsh guys, hz ata asie chuo kikuu anawz kuziandk...

    ReplyDelete