Pages

Saturday, June 20, 2015

HARAKATI ZA BUNDI


Wakati wanachuo wa chuo cha Tumaini Dar es salaam(TUDARCO),wakiendelea  kujii-enjoy kwa kubembea kwenye lift a.k.a elevator za mjengo wao huo mpya.JICHO LA BUNDI

limewafuma baadhi ya wanachuo hao wakipigana vikumbo ndani ya lift hizo,mithili ya abiria wa mbagala wakiwa wanapambana kuunyaka usafiri,kilichomshangaza BUNDI huyo ni kwamba

wasomi hao walikuwa wakioneshana ubabe kila mmoja akiwa na madhumuni ya kutokelezea(Kuappear) kwenye ''selfie" iliyokuwa ikitunguliwa na kijana mmoja aliyeonekana kuwashika wenzie zaidi ya zile lecture za pombe zinavyowabamba walevi.

 Mwishowe bundi anapenda kuwatakia wasomi hao maandalizi mema dhidi ya mitihani yao ya kumaliza mwaka wa masomo.Nakuwapa ushauri wasome kwa bidii ikiwezekana hata kupanda juu ya dari na kujifungia wakipiga msuli.

KUMBUKA BAADA YA MSIBA NI UBARIKIO



No comments:

Post a Comment