Pages

Monday, June 22, 2015

HITILAFU KWENYE LIFT

Lift zinazotao huduma katika jengo jipya la Chuo cha Tumaini Dar es salaam zimepata hitilafu na kusababisha usumbufu mkubwa kwa watumijai wa jengo hilo.

Mmoja ya watumiaji wa jengo hilo ameongea na mwandishi wa Blog hii na kumwambia kuwa kutokana na hitilafu ya lift ameshindwa kufika darasani kwa wakati na kusababisha kukosa baadhi ya masomo.

Kwaupande wa mratibu wa Jengo hilo ambae hakufaamika jina lake kwa haraka amesema tatizo linashugulikiwa na litatatuliwa mapema iwezekanavyo na waandisi wa mitambo hiyo.

LIFT ZIKIWA HAZIFANYI KAZI

No comments:

Post a Comment