Pages

Friday, November 27, 2015

YANAYOJIRI



SWALI
Swali kuhusu ofisi ya Admission na Uhasibu.
Malalamiko ya ufanisi wa ofisi hizi unaelezewa na mwanafunzi kutoka  Mwaka wa tatu Education.
  
Swali :Chuo kimekosa sehemu ya kujisomea  wanafunzi wanapata usumbufu mahali pa kusomea
Swali linaulizwa na JUMA mwanafunzi wa Kitivo cha Ualimu mwaka wa tatu.

Makamu wa Chuo Taaluma anajibu swali ya kwanza kwa kuomba kama kuna mtu anamalalamiko yeyote kuhusu huduma za uhasibu na ADMISSION aya wasilishe kwake ili hatua zichukuliwe .

Kuhusu mahali paku jisomeaMakamu mkuu wa  Chuo Taaluma anasema Chuo kinashughulikia swala hili.

No comments:

Post a Comment