Pages

Thursday, July 16, 2015

KUAHIRISHWA KWA BASHI CHUO KIKUU TUMAINI



                               TANGAZO
WAPENDWA WANAFUNZI……
SERIKALI YA WANAFUNZI INAPENDA KUTOA TAARIFA KUHUSIANA NA BASHI AMBAYO TULIPANGA TUIFANYE TAREHE 18/ 07 /2015.
SERIKALI YA WANAFUNZI INAPENDA KUWATAARIFU RASMI KUWA HIYO BASHI IMEAIRISHWA KUTOKANA NA SABABU ZA MSINGI SANA KAMA IFUATAVYO;
1.  KUTOKANA NA IDADI KUBWA YA WANAFUNZI AMBAO WALIKUWA BADO HAWAJAMALIZIA KARO YAO YA CHUO SERIKALI YA WANAFUNZI ILIAMUA KUWAKOPESHA FEDHA ZA KUKAMILISHA KARO YA CHUO ILI WAWEZE KUFANYA MITIHANI. IDADI YA WALIKOPESHWA NI KUMI NA SITA KWA  KIASI TOFAUTI TOFAUTI  NA KUFANYA JUMLA KUU KUWA NI SHILINGI MILIONI SITA NA ELFU SITINI TU  (6,060,000/= TZS) MKOPO HUO KWA WANAFUNZI ULIPEKELEA BAJETI YETU  KUPUNGUA NA TUSIWEZE KUENDELEA NA ZOEZI ZIMA LA KUANDAA BASHI.
2.  TULIJITAHIDI KUWATAFUTA WADHAMINI MBALIMBALI AMBAO NAO WANGEWEZESHA SHUGHUI KUFANYIKA, LAKINI KUTOKANA NA MUDA KUWA MFUPI IKAWA NI NGUMU KUFANIKISHA.
3.  SABABU NYINGINE NI KUCHELEWA KUFANYIKA KWA UCHAGUZI WA VIONGOZI, ENDAPO UCHAGUZI UNGEFANYIKA MAPEMA TUNGEWEZA KUKAMILISHA ZOEZI ZIMA.
NB:    SERIKALI YA WANAFUNZI INAPENDA KUWAHAKIKISHIA KUWA  MARA TU BAADA YA KUFUNGUA CHUO TUTAKUA NA BASHI MOJA KUBWA SANA (SO AMAAAAZING!!!!!), HIVYO WANAFUNZI MUWE TAYARI KWA HILO NA ITAKUA MAPEMA WIKI ZA MWANZO ZA KUFUNGUA CHUO.
IMEANDALIWA NA,

            MAPUNDA FLORID SEBASTIANI
   (WAZIRI WA HABARI NA MAWASILIANO)

No comments:

Post a Comment