Pages

Wednesday, June 24, 2015

TUMAINI MPYA



jengo jipya la chuo kikuu cha Tumaini

Wanafunzi wa chuo kikuu cha Tumaini wameupongeza uongozi wa chuo hicho kutokana na kuongeza jengo jipya ambalo linakidhi mahitaji yao ya kila siku hasa kwa upande wa elimu.

Jengo hilo jipya lina ghorofa tisa ambapo ndani yake lina madarasa (28), kuna maktaba na ofisi za kitivo cha sheria, kuna kanisa, ukumbi mdogo wa mikutano na ukumbi mkubwa wa mikutano katika ghorofa ya tisa, katika kila darasa kuna camera kwa ajii ya ulinzi na spika. 

Mmoja wa wanafunzi hao ambae anayefahamika kwa jina la Mary Siame anayesomea shahada ya UALIMU mwaka wa pili amesema najisikia fahari sana kuwa miongoni mwa wanafunzi wanaofaidika na elimu inayopatikana hapa chuoni na nilikua na ndoto .

Ameongeza kua jengo jipya kwa sasa linachukua wanafunzi wengi wakiwemo wa cheti (certificates) stashahada(diploma) na shahada(degree).


mmoja wapo wa wajumbe akichangia mada katika ukumbi wa mikutano na midahalo





















No comments:

Post a Comment