Pages

Sunday, July 19, 2015

KUTOKA UHADHIRI MPAKA SIASA..

Danford Kitwana  


Danford Kitwana ni mhadili wa Chuo kikuu Kishiriki cha Tumaini Tawi la Dar es Salaam, na ametumikia kazi yake hii ndani ya miaka kadhaa katika kitivo cha sanaa na sayansi ya jamii, idara  ya mawasiliano kwa Umma na sasa ameamua kugeukia siasa na yupo tayari kuwatumikia watu wa jimbo flani ndani ya mkoa flani.


Je unataka kujua anataka kuwawakilisha watu wa jimbo gani? kwa nini watu wa jimbo hili? na mengine mengi. Yote yatakuwepo kupitia blog yako www.mainkampasi.blogspot.com


 Mainikampasi itakupa taarifa zote za wahadhili na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini ambao wametia nia na ambao wamekwisha chukua fomu na kuendelea na  mchakato mzima wa kura za maoni mpaka kinyang’anyiro cha jimbo husika.

No comments:

Post a Comment